NA
ISSA RAMADHANI.
TAMASHA la fiesta 2017 limemalizika Jumamosi hii lililofanyia Leaders Club jijini Dra es salaam ,tulishuhudia
wasanii wa Kundi la Yamoto Band wakiungana pamoja kama zamani na kufanya show
ya pamoja na kuleta msisimko mkubwa kwa mashabiki waliojitokeza ukumbini hapo.

Ambapo asilimia mia (100%) ni kutoka hapa Tanzania pekee wasanii waliopafomu jukwaani . kwa ubunifu mwingi katika show na mashabiki wengi wa burudani walijitokeza kushuudia show hiyo.

Ambapo asilimia mia (100%) ni kutoka hapa Tanzania pekee wasanii waliopafomu jukwaani . kwa ubunifu mwingi katika show na mashabiki wengi wa burudani walijitokeza kushuudia show hiyo.
Wasanii wa kundi hilo kwa sasa kila
mmoja anafanya kazi kivyake huku Aslay pamoja na Beka Flavour wakionekana
kufanya vizuri kutokana na vibao vyao walivyovitoa hivi karibuni kupendwa zaidi
na mashabiki.
Akiongea na mashabiki waliojitokeza kwenye tamasha hilo, Aslay amewataka mashabiki kujipanga kwa ajili ya kibao kipya cha kundi hilo.
“Asanteni sana mashabiki kwa upendo wetu kuna kitu kipya tunawaandalia,” alisema Aslay baada ya kumaliza show yao hiyo.
Katika show hiyo Maromboso ndiye msanii pekee wa kundi hilo aliyekosekana huku baadhi ya wadau wakidai muimbaji huyo anajiunga na WCB ndio maana ameshindwa kuonekana tena akiwa pamoja na kundi.
Akiongea na mashabiki waliojitokeza kwenye tamasha hilo, Aslay amewataka mashabiki kujipanga kwa ajili ya kibao kipya cha kundi hilo.
“Asanteni sana mashabiki kwa upendo wetu kuna kitu kipya tunawaandalia,” alisema Aslay baada ya kumaliza show yao hiyo.
Katika show hiyo Maromboso ndiye msanii pekee wa kundi hilo aliyekosekana huku baadhi ya wadau wakidai muimbaji huyo anajiunga na WCB ndio maana ameshindwa kuonekana tena akiwa pamoja na kundi.
No comments:
Post a Comment