NA
MWANDISHI WETU,
WADAU mbalimbali wa elimu kwa
kushirikiana na Serikali wamesambaza vifaa maalum vya kufundishia somo la
Kingereza mashuleni ili kusaidia kumaliza changamoto na kuongeza uelewa
kwa wanafunzi wa sekondari mkoani tanga.
Kwa upande wa Mwakilishi wa Afisa Elimu mkoa wa Tanga ametoa wito kwa walimu waliokuwa wakipewa mafunzo ya kutumia kifaa hicho huku kamera ya ITV ikushuhudia mwitiko huo wa waakimu.
Wadau hao wamefanya kitendo hicho baada ya kuonekana kuwa lugha ya kingereza imekuwa ni kikwazo kwa wanafunzi wanaofaulu shule za msingi kwenda sekondari hasa mkoani Tanga.
No comments:
Post a Comment