| Aslay kushoto na Beka Flavour kulia |
NA MWANDISHI WETU,
MSANII wa muziki wa Bongo Flava,
Beka Flavour kutoka Tanzania amefunguka kuhusu ujio wa wimbo kwa kufanya kolabo yake na Aslay.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sarafina’ ameiambia kituo cha televishioni hapa nchi FNL ya EATV kuwa kolabo hiyo bado haifanyika ila muda ukifika itafanyika.

“Hamna bado hatuna kolabo lakini chochote kinaweza kutokea lakini siyo Aslay tu, mbona Enock watu wamuongelei?” Alimesema.
WOTE Aslay na Beka walikuwa pamoja katika kundi la Yamoto Band ambalo kwa sasa wasanii wake wanafanya kazi kama solo.
Kundi hilo lilitamba Tanzania na nchi nyingine kwa nyimbo zaon kali na kwa mafanikio zaidi kwa kutembea na kushiriki show nyingi.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sarafina’ ameiambia kituo cha televishioni hapa nchi FNL ya EATV kuwa kolabo hiyo bado haifanyika ila muda ukifika itafanyika.
“Hamna bado hatuna kolabo lakini chochote kinaweza kutokea lakini siyo Aslay tu, mbona Enock watu wamuongelei?” Alimesema.
WOTE Aslay na Beka walikuwa pamoja katika kundi la Yamoto Band ambalo kwa sasa wasanii wake wanafanya kazi kama solo.
Kundi hilo lilitamba Tanzania na nchi nyingine kwa nyimbo zaon kali na kwa mafanikio zaidi kwa kutembea na kushiriki show nyingi.
No comments:
Post a Comment