HASHIM RUN GWE AMJULIA HALI ,LISSU NAIROBI - ISSRADHANS

Umoja na uzalendo

Umoja na uzalendo

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday 13 December 2017

HASHIM RUN GWE AMJULIA HALI ,LISSU NAIROBI



 Image result for lisu na rungwe nairobi
INAPENDEZA SANAA NI  NI UUNGWANA ,…..
AMBAPO MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA),hapa nchini, Hashim Rungwe Spunda,ni miongoni mwa wana siaisa ambaye  amemtembelea na kumjulia hali mbunge wa Singida Mashariki, Mh Tundu Lissu Hospitali Nairobi alikolazwa baada ya kushambuliwa kwa risasi nyumbani kwake Area D, Mjini Dodoma.

Akiwa Nairobi, Rungwe ambaye alikuwa miongoni mwa wagombea Urais Mwaka 2015, ametoa wito kwa Watanzania kuwa na moyo wa upendo huku akiliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya Dola ,kufanya kazi yao kwa kila njia kuwapata  waliomshambulia Lissu.

Siku ya tukio, Lissu alikimbizwa katika hospitali hiyo baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na watu wasiojulikana nyumbani kwake, Area D, Mjini Dodoma, Septemba 7 mwaka huu ambapo amefanyiwa upasuaji mara kadhaa na anaendelea na matibabu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot