Wanariadha watano wa Urusi wafungiwa maisha - ISSRADHANS

Umoja na uzalendo

Umoja na uzalendo

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, 28 November 2017

Wanariadha watano wa Urusi wafungiwa maisha



URUSI,Moscow

WANARIADHA  wengine watano wa Urusi wamefungiwa kushiriki michuano ya kimataifa ya Olimpiki katika  maisha yao yote  ya mchezo huu baada ya kamati ya kimataifa ya Olimpiki kuwabaini kutumia dawa zilizokataliwa michezoni.
Image result for wanariadha wa urusi waliofungiwa
Miongoni mwa wanariadha waliofungiwa
Wanariadha hao ni  Sergei Chudinov, Aleksei Negodailo, Dmitry Trunenkov, Yana Romanova na Olga Vilukhina ndio waliokumbwa na adhabu hiyo.ni baada ya kamati kujilidhisha.

Upande wa IOC inasema kufungiwa huko kunatokana na kamati ya 2016 ya McLaren iliyoonyesha watumiaji wa dawa hizo. Kwa warasia hao.

SIKU ya Jumatatu  IOC ilitangaza adhabu hiyo na kuonya  kuwa  bado itaendelea kwa wale wote wanamichezo  watakaojaribu kutumia dawa hizo. Za kuongeza nguvu zilizopigw marufuku.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot