![]() | ||
|
IGP Sirro
akifanya ziara bandarini.
MKUU wa Jeshi la Polisi Tanznia, IGP Simon Nyakoro Sirro,
amefanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam, ili kufanya ukaguzi wa magari
31 ya Jeshi hilo ambayo Rais wa nchi hiyo DK John Magufuli,ambapo alielekeza kukabidhiwa kwa Jeshi hilo ili
kurahisisha utendaji wao wa kazi.
Ambapo kiwa Bandarini hapo IGP Sirro
amekutana na kufanya mazungumzo ya pamoja na askari wa Jeshi hilo Kikosi cha Bandari aidha amewataka kuhakikisha wanatimiza majukumu yao
ipasavyo pamoja kwa kutenda haki ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora kwa
wateja.
Hata hivyo IGP amewataka Polisi
wasaidizi wanaofanya kazi bandarini hapo kushirikiana na Jeshi la Polisi ili
kuendelea kudhibiti vitendo vya kihalifu vinavyofanywa na baadhi ya watu wasio
waaminifu.
|
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, 28 November 2017
IGP Sirro Arejea Bandarini Kukagua Magari ya Polisi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.


No comments:
Post a Comment