Modric mbion kurudi Tottenham - ISSRADHANS

Umoja na uzalendo

tanzania

Hot

Post Top Ad

Friday, 8 December 2017

Modric mbion kurudi Tottenham

Your Ad Spot


 Luka-Modric-913497
MADRID,HISPAIN

MCHEZAJI wa zamani wa Klabu ya soka ya Tottenham, Luka Modric ameripotiwa huenda akarudi kwenye timu yake ya zamani ya Tottenham Mwishoni mwa msimu huu.

Modric  mwenye umri wa miaka 32, ni miongoni mwa  wachezaji wengi waliovutia  katika historia ya Tottenham baada ya kufanya vyema kunako timu yake ya Taifa ya Kikroeshia licha ya kuwa na wakati mbaya Madrid.

.com/blogger_img_proxy/
Mchezaji huyo, alifanikiwa kushinda ligi ya Mabingwa mara tatu huku akionekana kama moja ya kivutio bora  duniani. 
 

Hivi sasa klabu yake ya Madrid haijui hatma ya mchezaji huyo  pamoja na kukosa nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza .


Nyota huyo anatarajiwa kuondoka mwishoni mwa msimu huu licha ya kufukuziwa na Vilabu kama vile Inter Milan na Manchester United lakini uwezekano mkubwa upo Tottenham kwa sababu nyingi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad